Latest News

Zuchu addresses rumoured relationship with Diamond Platnumz

WCB female artiste Zuhura Kopa, alias Zuchu has spoken on her alleged love affair with his boss and Tanzanian Bongo star Diamond Platnumz.

Speaking during an interview with Wasafi FM, Zuchu dismissed the claims explaining that the rumours are from the promotion of her new song with Diamond.

READ ALSO: Jamal Gaddafi accuses Diamond Platnumz of using Zuchu to sabotage Tanasha Donna’s music career

The 30-year-old artiste added that if she had an affair with her boss, then there would have been proof.

“Kwanza ukiangalia ndani ya WCB hakuwezi kuwa na maneno kama hayo kwa sababu hakuna kielelezo na hio story haina muendelezo. Tunajua watu walivyo wafuataliaji, trust me kama ningekuwa na any inappropriate relationship na boss, kipo kitu kingeonesha ushahidi lakini watu wamebase kwenye vielelezo vya promotion ambayo kama ukingalia wasanii wote duniani wa kike wanaofanya vizuri management zao ziliwekeza kweli kweli,” she said.

Zuchu urged people to appreciate Diamond for investing in young talent instead of saying negative things aimed at him.

“Kwa hivyo mi naona badala ya kumpongeza mtu kama boss kwa kuwekeza kwa msichana mdogo kama mimi watu wamnataka kutumia ile nafasi kuweka negativity which is not right,” she said.

She also asserted that Diamond has never been inappropriate with her further describing her as a brother.

“Boss wangu hajawai kunivunjia heshima. I’m saying this with all my heart. He’s a brother and a brother indeed. He has never been inappropriate, hajawahi,” Zuchu said.

“Ni vitu ambavyo vinanikwaza lakini huwezi kumjibu kila mtu, pengine hivi ni vitu ambavyo mtu akikaa mtaani wakiongela wenyewe labda wanafurahi. Usimharibie mtu starehe yake,” she added.

https://www.instagram.com/tv/CFZ5S8bhJ3F/?igshid=14wqlcako06gt

In May this year, Zuchu also refuted claims that she has a love affair with Diamond.

She said the WCB CEO is not interested in her and, as a matter of fact, he is always offering her pieces of advice on how to deal with men eyeing on her.

“Alishaniambia tayari, kabla hata hatujaanza ishu za kutoka, tulishakaa akaniambia wanaume wapo na mapenzi yapo lakini muda kama huu ndio muda wa kukutengeneza au wa kukuvunja.

READ ALSO: Drama as married man is busted by wife having some good time with ‘side chick’

“Unaweza ukapata mtu akaogopeshwa tu na status yako akataka tu kukuvunja. Kwa hiyo unapaswa uwe makini kwa upande wa uchaguzi wa wanaume. Kwa hiyo tulia, ujisaidie umsaidie mamako. Ni ujumbe alioniambia na sio mara moja,” Zuchu said.

Do you have a story you would like us to publish? Please reach us through [email protected] or call/SMS +254 731 469269

Click to comment

Leave a Reply

Most Popular

To Top
error: Content is protected !!